PICHA ZA IBADA YA MISA TAKATIFU YA VIJANA DUNIANI ILIYOFANYIKA 20/11/2022
Ibada ambayo pia ni sikukuu ya Yesu Kristo Mfalme. Misa imeongozwa na Mhashamu Baba Askofu Mkuu Isaac Amani katika Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu – Sombetini
Ibada ambayo pia ni sikukuu ya Yesu Kristo Mfalme. Misa imeongozwa na Mhashamu Baba Askofu Mkuu Isaac Amani katika Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu – Sombetini
Misa imeongozwa na Mhashamu Askofu Mkuu Baba Isaac Amani katika Parokia ya Mt. Mikaeli Mkuu Kijungu-Masai Kusini 28/08/2022.
Wafanyakazi katika Ofisi Kuu na Waamini wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha kwa ujumla tunawatakia kheri ya sikukuu ya Jubilei ya Fedha ya utume wetu Jimboni baba Askofu Msaidizi Prosper B. Lyimo, Padre Honoratus Achimpota pamoja na Padre Venance A. Kway. Mungu awalinde na kuwaongoza katika Shamba la Kondoo wake . (08/08/2022)
Mpango Mkakati wa Miaka Mitano 2019 – 2023 Jimbo Kuu Katoliki Arusha Jimbo kuu la Arusha limeanzisha mpango mkakati wa miaka mitano: 2019-2023: Dira: “Familia ya Mungu inayoishi kadiri ya Injili ya Kristo”. Malengo Saba: 1. Kuimarisha Imani Katoliki 2. Kuimarisha Maadiii ya Kikristo 3. Uelewa wa Sheria 4. Kuboresha Uchumi, Elimu na Afya 5. …
UJUMBE WA PENTEKOSTE MWAKA 2019 NA MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO 2019-2023 Read More »