Become A Donor

Become A Donor
Lorem Ipsum is simply dummy text of the printing and typesetting industry.

Contact Info

684 West College St. Sun City, United States America, 064781.

(+55) 654 - 545 - 1235

info@zegen.com

Idara ya Mawasiliano

IDARA YA MAWASILIANO JIMBO KUU KATOLIKI ARUSHA

Idara ya Mawasiliano ni kitengo rasmi kinachosimamia mawasiliano yote ya Jimbo Kuu Katoliki Arusha kwa umma na kwa ndani ya Kanisa. Idara hii ni kiungo muhimu kati ya Jimbo Kuu, waamini na jamii kwa ujumla, kwa kuhakikisha taarifa sahihi, za wakati na zenye kuakisi mafundisho na maadili ya Kanisa zinawafikia walengwa wake.

Dira ya Idara

Dhima ya Idara

Majukumu Makuu ya Idara ya Mawasiliano

1. Mawasiliano ya Nje

Idara ya Mawasiliano ina jukumu la:

2. Mawasiliano ya Ndani

Katika kuimarisha umoja na mshikamano wa Kanisa, Idara ya Mawasiliano:

Ushirikiano na Huduma

Idara ya Mawasiliano inashirikiana kwa karibu na:

Kupitia ushirikiano huu, idara inalenga kuimarisha taswira ya Kanisa na kukuza uwazi, mawasiliano bora na huduma kwa jamii.

Mawasiliano

Kwa maswali, ushauri wa kimawasiliano au kuwasilisha taarifa na maudhui ya kuchapishwa, tafadhali wasiliana na: