Become A Donor

Become A Donor
Lorem Ipsum is simply dummy text of the printing and typesetting industry.

Contact Info

684 West College St. Sun City, United States America, 064781.

(+55) 654 - 545 - 1235

info@zegen.com

Kuhusu Sisi

Maono Yetu

Utume Wetu

Maadili yetu ya Msingi

Kuhusu sisi

Jimbo Katoliki la Arusha

Jimbo Katoliki Arusha lilianzishwa Machi 1, 1963, na kusajiliwa rasmi kuwa Bodi ya Wadhamini ya Jimbo Katoliki Arusha Juni 17, 1965. Tarehe 16 Machi, 1999, Jimbo la Arusha lilipandishwa hadhi kuwa Jimbo Kuu Katoliki Arusha na Wizara ya Mambo ya Ndani. Tarehe 22 Julai 2002 Jimbo lilisajiliwa tena na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa namba SO Na. 8848 Ofisi Kuu ya Jimbo iko katika eneo la Parokia ya Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu ambapo Kanisa Kuu liko katika hatua ya kukamilika.

SOMA ZAIDI

MAASKOFU

Maaskofu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha tangu kuzinduliwa mwaka 1963.